DALILI HIZI ZINAONESHA KUWA UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME (Soma hapa chini 👇)
Mwanaume ukitaka kujua kuwa wewe una changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ni vema ukaangalia dalili hizi wakati wa kushiriki tendo
UNAWAHI SANA KUFIKA KILELENI
Kuwahi kufika kileleni ni hali ya mwanaume kupiga mshindo mapema mno (kumwaga mbegu za kiume) sekunde chache baada ya kuanza tendo
hali hii hutokea pale mwanaume anapo shiriki tendo na kujikuta amesha maliza haja zake mapema zaidi kabla ya mwenza wake na hali hii hutumia sekunde 10 - dakika 3 Ukiona unatumia muda wa dakika chini ya 5 kufika kileleni hii ni dalili kuwa umeanza kupoteza uwezo wako wa kiume
UNACHELEWA SANA KURUDIA
dalili nyingine ambayo itadhihirisha kuwa unakosa nguvu za kiume ni kushindwa kurudia tendo kwa wakati
hali hii hutokea pale ambapo mwanaume ameshapiga mshindo wa kwanza na kila akitaka kurudia tena anakosa HAMU YA TENDO Na uume hausimami kwa wakati lakini pia hali hii huambatana na kujisikia kukinahiwa na tendo
UUME KUWA LEGEVU
wakati ukiwa unaendelea na tendo ghafla kabla hujapiga mshindo unaanza kuona Uume unakosa Nguvu na kuwa legevu na kuwa mdogo ghafla, itakulazimu kusubiri kwa muda ili Uume usimame tena na uendelee na tendo
UNAMWAGA KABLA YA TENDO KUANZA
Moja ya dalili mbaya na ya hatari kwa mwanaume ni kufika kileleni hata kabla ya tendo kuanza yaani Wakati mkiwa Mna kiss kiss Ghafla unaona tayari na hapo hapo hamu inaisha
Hii ni dalili inayo onesha kuwa Changamoto yako imeshakuwa sugu na unahitaji suluhisho la mapema
Kutatua changamoto ya UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME INAWEZEKANA TENA KWA NJIA RAHISI NA SALAMA KWA AFYA YAKO
Nahitaji kuwasaidia watu watakao chukulia changamoto hii kwa uzito na kuamua kutatua changamoto zao ni vema ukawa na vigezo hivi 👇
👉LAZIMA UWE NA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME
👉UMRI NI MIAKA 20-75
👉NJOO KWA AJILI YA KUTATUA CHANGAMOTO YAKO
+255 754 836 259

0 Comments